Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Wafalme 7:11 - Swahili Revised Union Version

Na mabawabu wakaita wakawaambia watu wa nyumba ya mfalme.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Walinda malango wakaeneza habari hizi mpaka zikafika nyumbani kwa mfalme.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Walinda malango wakaeneza habari hizi mpaka zikafika nyumbani kwa mfalme.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Walinda malango wakaeneza habari hizi mpaka zikafika nyumbani kwa mfalme.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Walinzi wa langoni wakatangaza habari ile kwa sauti kuu, na taarifa hii ikatolewa ndani ya jumba la mfalme.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Walinzi wa langoni wakatangaza habari ile kwa sauti kuu, na taarifa hii ikatolewa ndani ya jumba la mfalme.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na mabawabu wakaita, wakawaambia watu wa nyumba ya mfalme.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Wafalme 7:11
2 Marejeleo ya Msalaba  

Basi wakaenda, wakawaita mabawabu wa mji; wakawaambia, Tulifika kituo cha Washami, na tazama, hapana mtu yeyote huko, wala sauti ya mtu, ila farasi wamefungwa, na punda wamefungwa, na hema zao kama walivyoziacha.


Mfalme akaondoka usiku, akawaambia watumishi wake, Sasa nitawaonesha ninyi walivyotutendea Washami. Wanajua ya kuwa tuna njaa; basi wametoka kituoni, ili kujificha shambani, wakisema Watakapotoka mjini, tutawakamata hai; tena tutapata kuingia mjini.