Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Wafalme 3:8 - Swahili Revised Union Version

Akauliza, Njia ipi tuiendee? Akajibu, Njia ya jangwa la Edomu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Je, tutashambulia kutoka upande gani?” Yoramu akajibu, “Tutashambulia kutoka jangwa la Edomu.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Je, tutashambulia kutoka upande gani?” Yoramu akajibu, “Tutashambulia kutoka jangwa la Edomu.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Je, tutashambulia kutoka upande gani?” Yoramu akajibu, “Tutashambulia kutoka jangwa la Edomu.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Akauliza, “Je, tutashambulia kupitia njia gani?” Akajibu, “Kupitia Jangwa la Edomu.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Akauliza, “Je, tutashambulia kupitia njia gani?” Akajibu, “Kupitia Jangwa la Edomu.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akauliza, Njia ipi tuiendee? Akajibu, Njia ya jangwa la Edomu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Wafalme 3:8
4 Marejeleo ya Msalaba  

Akaenda akatuma kwa Yehoshafati mfalme wa Yuda, akasema, Mfalme wa Moabu ameniasi; je! Utakwenda pamoja nami tupigane na Moabu? Akasema, Nitakwenda; mimi ni kama wewe, watu wangu ni kama watu wako, farasi wangu ni kama farasi wako.


Basi mfalme wa Israeli akaenda, na mfalme wa Yuda, na mfalme wa Edomu; wakazunguka mwendo wa siku saba; wala hapakuwa na maji kwa jeshi, wala kwa wanyama waliowafuata.


Wakasafiri kutoka mlima wa Hori kwa njia ya Bahari ya Shamu; ili kuizunguka nchi ya Edomu, watu wakafa moyo kwa sababu ya ile njia.