Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Wafalme 15:3 - Swahili Revised Union Version

Akafanya yaliyo mema machoni pa BWANA, kama yote aliyoyafanya babaye Amazia.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Alitenda mema mbele ya Mwenyezi-Mungu sawasawa na yote baba yake aliyotenda.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Alitenda mema mbele ya Mwenyezi-Mungu sawasawa na yote baba yake aliyotenda.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Alitenda mema mbele ya Mwenyezi-Mungu sawasawa na yote baba yake aliyotenda.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Akatenda yaliyo mema machoni pa Mwenyezi Mungu, kama Amazia baba yake alivyofanya.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Akatenda yaliyo mema machoni pa bwana, kama Amazia baba yake alivyofanya.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akafanya yaliyo mema machoni pa BWANA, kama yote aliyoyafanya babaye Amazia.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Wafalme 15:3
8 Marejeleo ya Msalaba  

Basi, Asa akafanya yaliyo mema machoni pa Mungu, kama alivyofanya babaye Daudi.


Alikuwa na umri wa miaka kumi na sita alipoanza kutawala; akatawala miaka hamsini na miwili huko Yerusalemu. Na jina la mamaye aliitwa Yekolia wa Yerusalemu.


Akafanya yaliyo mema machoni pa BWANA; akafanya kama yote aliyoyafanya Uzia baba yake.


Ila mahali pa juu hapakuondolewa, nao watu wakaendelea kutoa sadaka na kufukiza uvumba katika mahali pa juu.


Uzia alikuwa na umri wa miaka kumi na sita alipoanza kutawala; akatawala huko Yerusalemu miaka hamsini na miwili; na jina la mamaye aliitwa Yekolia wa Yerusalemu.


Akafanya yaliyo ya adili machoni pa BWANA, sawasawa na yote aliyoyafanya Amazia babaye.