Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Timotheo 4:19 - Swahili Revised Union Version

Nisalimie Priska na Akila, na wale wa nyumbani mwa Onesiforo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wasalimu Priska na Akula, pamoja na jamaa ya Onesiforo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wasalimu Priska na Akula, pamoja na jamaa ya Onesiforo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wasalimu Priska na Akula, pamoja na jamaa ya Onesiforo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wasalimu Prisila na Akila, na wote wa nyumbani mwa Onesiforo.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wasalimu Prisila na Akila, na wote wa nyumbani kwa Onesiforo.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nisalimie Priska na Akila, na wale wa nyumbani mwa Onesiforo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Timotheo 4:19
7 Marejeleo ya Msalaba  

Tena mkiwaamkia ndugu zenu tu, mnatenda tendo gani la ziada? Hata watu wa mataifa, je! Nao hawafanyi sawa na hayo?


Baada ya hayo Paulo akazidi kukaa huko siku nyingi, kisha akaagana na ndugu akaabiri kwenda Shamu; na Priskila na Akila wakaenda pamoja naye, alipokwisha kunyoa kichwa chake huko Kenkrea; maana alikuwa ana nadhiri.


Akamwona Myahudi mmoja, jina lake Akila, mzalia wa Ponto; naye amekuja kutoka nchi ya Italia siku za karibu, pamoja na Priskila mkewe, kwa sababu Klaudio amewaamuru Wayahudi wote watoke Rumi, naye akafika kwao;


Akaanza kunena kwa ujasiri katika sinagogi; hata Priskila na Akila walipomsikia wakampeleka kwao, wakamweleza njia ya Bwana kwa usahihi zaidi.


Makanisa ya Asia wawasalimu. Akila na Priska wawasalimu sana katika Bwana, pamoja na kanisa lililoko ndani ya nyumba yao.