Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Timotheo 4:15 - Swahili Revised Union Version

Nawe ujihadhari na huyo, kwa sababu aliyapinga sana maneno yetu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Jihadhari naye kwa sababu aliupinga ujumbe wetu kwa ukali.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Jihadhari naye kwa sababu aliupinga ujumbe wetu kwa ukali.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Jihadhari naye kwa sababu aliupinga ujumbe wetu kwa ukali.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wewe pia ujihadhari naye kwa sababu aliyapinga maneno yetu vikali.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wewe pia ujihadhari naye kwa sababu aliyapinga sana maneno yetu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nawe ujihadhari na huyo, kwa sababu aliyapinga sana maneno yetu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Timotheo 4:15
5 Marejeleo ya Msalaba  

Jihadharini na mbwa, jihadharini na watendao mabaya, jihadharini na wajikatao.


Na kama vile Yane na Yambre walivyopingana na Musa, vivyo hivyo na hawa wanapingana na ile kweli; ni watu walioharibika akili zao, wamekataliwa kwa mambo ya imani.


Iskanda, mfua shaba, alionesha ubaya mwingi kwangu; Bwana atamlipa kulingana na matendo yake.


Katika utetezi wangu wa kwanza hakuna mtu aliyesimama upande wangu, bali wote waliniacha; naomba wasihesabiwe hatia kwa jambo hilo.