Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Timotheo 3:4 - Swahili Revised Union Version

wasaliti, wakaidi, wenye kujivuna, wapendao anasa kuliko kumpenda Mungu;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

watakuwa wahaini, wakaidi na waliojaa kiburi; watapenda anasa kuliko kumpenda Mungu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

watakuwa wahaini, wakaidi na waliojaa kiburi; watapenda anasa kuliko kumpenda Mungu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

watakuwa wahaini, wakaidi na waliojaa kiburi; watapenda anasa kuliko kumpenda Mungu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

wasaliti, wakaidi, waliojaa majivuno, wanaopenda anasa kuliko kumpenda Mungu:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

wasaliti, wakaidi, waliojaa majivuno, wapendao anasa zaidi kuliko kumpenda Mwenyezi Mungu:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

wasaliti, wakaidi, wenye kujivuna, wapendao anasa kuliko kumpenda Mungu;

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Timotheo 3:4
12 Marejeleo ya Msalaba  

Basi kwa kuwa mambo haya hayawezi kukanushwa, imewapasa kutulia; msifanye neno la haraka haraka.


Ni yupi katika manabii ambaye baba zenu hawakumwudhi? Nao waliwaua wale waliotabiri habari za kuja kwake yule Mwenye Haki; ambaye ninyi sasa mmekuwa wasaliti wake, mkamwua;


Vema. Yalikatwa kwa kutoamini kwao, na wewe wasimama kwa imani yako. Usijivune, bali uogope.


Kwa sababu walio hivyo hawamtumikii Bwana wetu Kristo, bali matumbo yao wenyewe; na kwa maneno laini na ya kujipendekeza waidanganya mioyo ya watu wanyofu.


Wala asiwe mtu aliyeongoka karibu, asije akajivuna akaanguka katika hukumu ya Ibilisi.


Bali, yeye asiyejizuia nafsi yake amekufa ingawa yu hai.


Walio matajiri wa ulimwengu wa sasa uwaagize wasijivune, wala wasiutumainie utajiri usio yakini, bali wamtumaini Mungu atupaye vitu vyote kwa wingi ili tuvitumie kwa furaha.


Watu hao ndio waletao utengano, watu wa dunia hii tu, wasio na Roho.


Kwa maana kuna watu waliojiingiza kwa siri, watu walioandikiwa tangu zamani hukumu hii, makafiri, wabadilio neema ya Mungu wetu kuwa ufisadi, nao humkana yeye aliye peke yake Mola, na Bwana wetu Yesu Kristo.