Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Timotheo 1:11 - Swahili Revised Union Version

kwa ajili ya Injili hiyo niliwekwa niwe mhubiri, mtume na mwalimu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mimi nimechaguliwa niwe mtume na mwalimu kwa ajili ya kuhubiri Habari Njema,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mimi nimechaguliwa niwe mtume na mwalimu kwa ajili ya kuhubiri Habari Njema,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mimi nimechaguliwa niwe mtume na mwalimu kwa ajili ya kuhubiri Habari Njema,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nami nimewekwa kuwa mhubiri, mtume na mwalimu wa Injili hii.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nami nimewekwa kuwa mhubiri, mtume na mwalimu wa Injili hii.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

kwa ajili ya Injili hiyo niliwekwa niwe mhubiri, mtume na mwalimu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Timotheo 1:11
5 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini Bwana akamwambia, Nenda tu; kwa maana huyu ni chombo kiteule kwangu, alichukue Jina langu mbele ya Mataifa, na wafalme, na wana wa Israeli.


Je! Mimi siko huru? Mimi si mtume? Mimi sikumwona Yesu Bwana wetu? Ninyi si kazi yangu katika Bwana?


wakitaka kuwa waalimu wa sheria, ingawa hawayafahamu wasemayo wala mambo yale wayanenayo kwa uthabiti.


Nami kwa ajili ya huo niliwekwa niwe mhubiri na mtume, (nasema kweli, sisemi uongo), mwalimu wa Mataifa katika imani na kweli.