Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Samueli 4:3 - Swahili Revised Union Version

na hao Wabeerothi walikimbia kwenda Gitaimu, ndipo wanapokaa kama wageni hata hivi leo.)

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wakazi wa Be-erothi walikimbilia Gitaimu, na wameishi huko kama wageni hadi leo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wakazi wa Be-erothi walikimbilia Gitaimu, na wameishi huko kama wageni hadi leo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wakazi wa Be-erothi walikimbilia Gitaimu, na wameishi huko kama wageni hadi leo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

kwa sababu watu wa Beerothi walikimbilia huko Gitaimu na wameishi huko kama wageni hadi leo.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

kwa sababu watu wa Beerothi walikimbilia huko Gitaimu na wameishi huko kama wageni mpaka siku hii ya leo.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

na hao Wabeerothi walikimbia kwenda Gitaimu, ndipo wanapokaa kama wageni hata hivi leo.)

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Samueli 4:3
3 Marejeleo ya Msalaba  

Naye Yonathani, mwana wa Sauli alikuwa na mwana aliyekuwa na kilema cha miguu. Alikuwa na umri wa miaka mitano, habari za Sauli na Yonathani zilipofika Yezreeli, na yaya wake akamchukua akakimbia ikawa, alipokimbia kwa haraka, huyo mtoto akaanguka, akawa kilema. Na jina lake aliitwa Mefiboshethi.


Hazori, Rama, Gitaimu;


Kisha watu wa Israeli waliokuwa upande wa pili wa bonde lile, na ng'ambo ya Yordani, walipoona ya kuwa watu wa Israeli wamekimbia, na ya kuwa Sauli na wanawe wamekufa, wakaiacha miji yao, wakakimbia; nao Wafilisti wakaenda wakakaa humo.