Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Samueli 3:5 - Swahili Revised Union Version

na wa sita Ithreamu, wa Egla, mkewe Daudi. Hawa walizaliwa kwa Daudi huko Hebroni.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

na Ithreamu, mzaliwa wake wa sita, mama yake alikuwa Egla, mke wake Daudi. Daudi alizaliwa wana hawa wote alipokuwa huko Hebroni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

na Ithreamu, mzaliwa wake wa sita, mama yake alikuwa Egla, mke wake Daudi. Daudi alizaliwa wana hawa wote alipokuwa huko Hebroni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

na Ithreamu, mzaliwa wake wa sita, mama yake alikuwa Egla, mke wake Daudi. Daudi alizaliwa wana hawa wote alipokuwa huko Hebroni.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

wa sita, Ithreamu mwana wa Egla, mkewe Daudi. Hawa ndio waliozaliwa kwa Daudi huko Hebroni.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

wa sita, Ithreamu mwana wa Egla, mkewe Daudi. Hawa ndio waliozaliwa kwa Daudi huko Hebroni.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

na wa sita Ithreamu, wa Egla, mkewe Daudi. Hawa walizaliwa kwa Daudi huko Hebroni.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Samueli 3:5
4 Marejeleo ya Msalaba  

na wa nne Adoniya, mwana wa Hagithi; na wa tano Shefatia, mwana wa Abitali;


Ikawa, wakati vilipokuwapo vita kati ya nyumba ya Sauli na nyumba ya Daudi, Abneri akajipatia nguvu nyumbani kwa Sauli.


wa tano, Shefatia, wa Abitali; wa sita, Ithreamu, kwa Egla, mkewe.


Tazama, watoto ni urithi kutoka kwa BWANA, Uzao wa tumbo ni thawabu.