Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Samueli 3:11 - Swahili Revised Union Version

Wala hakuweza kumjibu Abneri tena, kwa sababu alimwogopa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ishboshethi hakuweza kusema neno, kwa kuwa alikuwa anamwogopa Abneri.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ishboshethi hakuweza kusema neno, kwa kuwa alikuwa anamwogopa Abneri.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ishboshethi hakuweza kusema neno, kwa kuwa alikuwa anamwogopa Abneri.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ish-Boshethi hakuthubutu kusema neno jingine kwa Abneri, kwa sababu alimwogopa Abneri.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ish-Boshethi hakuthubutu kusema neno jingine kwa Abneri, kwa sababu alimwogopa Abneri.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wala hakuweza kumjibu Abneri tena, kwa sababu alimwogopa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Samueli 3:11
3 Marejeleo ya Msalaba  

kuupitisha ufalme toka nyumba ya Sauli, na kukisimamisha kiti cha Daudi juu ya Israeli, na juu ya Yuda, toka Dani mpaka Beer-sheba.


Basi Abneri akatuma wajumbe kwa Daudi mahali alipokuwapo, akisema, Nchi hii ni ya nani? Fanya agano nami, na tazama, mkono wangu utakuwa pamoja nawe, ili kuwaleta Israeli wote kwako.


Umeitetemesha nchi na kuipasua, Upaponye palipobomoka, maana inatikisika.