Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Samueli 23:30 - Swahili Revised Union Version

na Benaya, Mpirathoni, na Hurai, wa vijito vya Gaashi;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Benaya, Mpirathoni; Hidai, wa vijito vya Gaashi;

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Benaya, Mpirathoni; Hidai, wa vijito vya Gaashi;

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Benaya, Mpirathoni; Hidai, wa vijito vya Gaashi;

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Benaya Mpirathoni; Hidai kutoka mabonde ya Gaashi;

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Benaya Mpirathoni; Hidai kutoka mabonde ya Gaashi;

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

na Benaya, Mpirathoni, na Hurai, wa vijito vya Gaashi;

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Samueli 23:30
7 Marejeleo ya Msalaba  

Kamanda wa kumi na moja wa mwezi wa kumi na moja alikuwa Benaya, Mpirathoni, wa wana wa Efraimu; na katika zamu yake walikuwa watu elfu ishirini na nne.


Nao wakageuka, wakapanda mlimani wakafika katika bonde la Eshkoli, wakalipeleleza.


Wakamzika katika nchi ya urithi wake, huko Timnath-sera; ulio katika nchi ya vilima ya Efraimu, upande wa kaskazini wa mlima wa Gaashi.


Baada ya Eloni, Abdoni mwana wa Hileli, Mpirathoni, akawa mwamuzi wa Israeli.


Huyo Abdoni mwana wa Hileli, Mpirathoni, akafa, akazikwa huko Pirathoni katika nchi ya Efraimu, katika nchi ya vilima ya Waamaleki.


Nao wakamzika katika mpaka wa urithi wake katika Timnath-heresi, katika nchi ya vilima vilima ya Efraimu, upande wa kaskazini wa mlima wa Gaashi.