Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Samueli 18:30 - Swahili Revised Union Version

Naye mfalme akasema, Geuka, usimame hapa. Akageuka, akasimama.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mfalme akasema, “Kaa kando, na usimame hapo.” Basi, Ahimaasi akaenda kando na kusimama kimya.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mfalme akasema, “Kaa kando, na usimame hapo.” Basi, Ahimaasi akaenda kando na kusimama kimya.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mfalme akasema, “Kaa kando, na usimame hapo.” Basi, Ahimaasi akaenda kando na kusimama kimya.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mfalme akasema, “Simama kando na usubiri hapa.” Basi akasogea kando na kusimama hapo.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mfalme akasema, “Simama kando na usubiri hapa.” Basi akasogea kando na kusimama hapo.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naye mfalme akasema, Geuka, usimame hapa. Akageuka, akasimama.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Samueli 18:30
2 Marejeleo ya Msalaba  

Mfalme akauliza, Je! Yule kijana, Absalomu, yuko salama? Ahimaasi akajibu, Yoabu aliponituma mimi mtumishi wa mfalme, mimi mtumishi wako, niliona kishindo kikubwa, lakini sikujua sababu yake.


Na tazama, yule Mkushi akafika; Mkushi akasema, Nina habari kwa bwana wangu mfalme; kwa maana BWANA amekulipizia kisasi leo juu ya hao wote walioinuka kupigana nawe.