Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Samueli 17:26 - Swahili Revised Union Version

Israeli na Absalomu wakapiga kambi katika nchi ya Gileadi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Absalomu pamoja na watu wa Israeli walipiga kambi yao katika nchi ya Gileadi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Absalomu pamoja na watu wa Israeli walipiga kambi yao katika nchi ya Gileadi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Absalomu pamoja na watu wa Israeli walipiga kambi yao katika nchi ya Gileadi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Waisraeli na Absalomu wakapiga kambi huko nchi ya Gileadi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Waisraeli na Absalomu wakapiga kambi huko nchi ya Gileadi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Israeli na Absalomu wakapiga kambi katika nchi ya Gileadi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Samueli 17:26
6 Marejeleo ya Msalaba  

Naye Absalomu akamweka Amasa awe juu ya jeshi mahali pa Yoabu. Basi huyo Amasa alikuwa mwana wa mtu, jina lake Yetheri, Mwishmaeli, aliyeingia kwa Abigali, binti Nahashi, nduguye Seruya, mamaye Yoabu.


Ikawa, Daudi alipofika Mahanaimu, Shobi, mwana wa Nahashi wa Raba, wa wana wa Amoni, na Makiri, mwana wa Amieli wa Lo-debari, na Barzilai, Mgileadi wa Rogelimu,


Hivyo watu wakatoka waende nyikani ili kupigana na Israeli; na vita vikatokea ndani ya msitu wa Efraimu.


Na Makiri nilimpa Gileadi.


Hii ndiyo sehemu waliyopewa kabila la Manase; maana, yeye alikuwa ni mzaliwa wa kwanza, wa Yusufu. Na Makiri, mzaliwa wa kwanza wa Manase, babaye Gileadi, kwa sababu alikuwa mtu wa vita, basi alikuwa na Gileadi na Bashani.