Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Samueli 15:17 - Swahili Revised Union Version

Mfalme akatoka, na watu wote wakamfuata; wakakaa kidogo katika Beth-merhaki.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mfalme akaondoka pamoja na watu wake wote. Lakini akatua kidogo walipofikia nyumba ya mwisho mjini.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mfalme akaondoka pamoja na watu wake wote. Lakini akatua kidogo walipofikia nyumba ya mwisho mjini.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mfalme akaondoka pamoja na watu wake wote. Lakini akatua kidogo walipofikia nyumba ya mwisho mjini.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hivyo mfalme akaondoka, pamoja na watu wote wakimfuata, wakatua mahali mbali kiasi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hivyo mfalme akaondoka, pamoja na watu wote wakimfuata, wakatua mahali mbali kiasi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mfalme akatoka, na watu wote wakamfuata; wakakaa kidogo katika Beth-merhaki.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Samueli 15:17
5 Marejeleo ya Msalaba  

Basi mfalme akatoka na watu wa nyumbani mwake wote wakafuatana naye. Mfalme akaacha wanawake kumi, masuria, ili kuitunza nyumba.


Watumishi wake wote wakapita karibu naye; na Wakerethi wote, na Wapelethi wote, na Wagiti wote, watu mia sita walioandamana naye kutoka Gathi, wakapita mbele ya mfalme.


Uliwapandisha watu Juu ya vichwa vyetu. Tulipitia motoni na majini; Ukatutoa na kutuleta kwenye ufanisi.


Mimi nimeona watumwa wamepanda farasi, na wakuu wakienda kwa miguu juu ya nchi kama watumwa.