Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Samueli 14:5 - Swahili Revised Union Version

Mfalme akamwuliza, Una nini? Naye akajibu, Hakika ni mjane mimi, niliyefiwa na mume wangu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mfalme akamwambia, “Una shida gani?” Yule mwanamke akajibu, “Nasikitika, mimi ni mjane, mume wangu amekufa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mfalme akamwambia, “Una shida gani?” Yule mwanamke akajibu, “Nasikitika, mimi ni mjane, mume wangu amekufa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mfalme akamwambia, “Una shida gani?” Yule mwanamke akajibu, “Nasikitika, mimi ni mjane, mume wangu amekufa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mfalme akamuuliza, “Una shida gani?” Akamwambia, “Mimi ni mjane, mume wangu amekufa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mfalme akamuuliza, “Una shida gani?” Akamwambia, “Mimi ni mjane hasa, mume wangu amekufa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mfalme akamwuliza, Una nini? Naye akajibu, Hakika ni mjane mimi, niliyefiwa na mume wangu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Samueli 14:5
6 Marejeleo ya Msalaba  

Mungu akasikia sauti ya kijana. Malaika wa Mungu akamwita Hajiri kutoka mbinguni, akamwambia, Una nini, Hajiri? Usiogope, maana Mungu amesikia sauti ya kijana huko aliko.


Akaondoka, akaenda zake, akavua utaji wake, na kuvaa mavazi ya ujane wake.


Naye yule mwanamke wa Tekoa aliponena na mfalme, akaanguka kifudifudi chini, akamsujudia, akasema, Nisaidie, Ee mfalme.


Nami mjakazi wako nilikuwa na wana wawili, na hao wawili wakashindana uwandani, wala hapakuwa na mtu wa kuwaamua, lakini mmoja akampiga mwenzake, akamwua.