Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Samueli 14:23 - Swahili Revised Union Version

Basi Yoabu akaondoka, akaenda Geshuri, akamleta Absalomu Yerusalemu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hivyo, Yoabu aliondoka, akaenda Geshuri kumleta Absalomu mjini Yerusalemu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hivyo, Yoabu aliondoka, akaenda Geshuri kumleta Absalomu mjini Yerusalemu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hivyo, Yoabu aliondoka, akaenda Geshuri kumleta Absalomu mjini Yerusalemu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ndipo Yoabu akaenda hadi Geshuri akamrudisha Absalomu Yerusalemu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ndipo Yoabu akaenda hadi Geshuri akamrudisha Absalomu Yerusalemu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi Yoabu akaondoka, akaenda Geshuri, akamleta Absalomu Yerusalemu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Samueli 14:23
4 Marejeleo ya Msalaba  

Naye Yoabu akaanguka kifudifudi hadi chini, akasujudu, akambariki mfalme, Yoabu akasema, Leo mimi mtumwa wako ninajua ya kwamba nimepata neema machoni pako, bwana wangu mfalme, kwa kuwa mfalme amemfanyia mtumishi wake haja yake.


na wa pili wake Danieli, wa Abigaili mkewe Nabali wa Karmeli; na wa tatu Absalomu, mwana wa Maaka binti Talmai, mfalme wa Geshuri,


Yairi, mwana wa Manase, alitwaa nchi yote ya Argobu, hata mpaka wa Wageshuri na Wamaaka; akaziita nchi hizo Hawoth-yairi, kwa jina lake mwenyewe, hata hivi leo, maana, hizo nchi za Bashani.)