Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Samueli 13:38 - Swahili Revised Union Version

Basi Absalomu akakimbia, akaenda Geshuri, akakaa huko muda wa miaka mitatu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Absalomu alikimbilia mjini Geshuri, akakaa huko kwa muda wa miaka mitatu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Absalomu alikimbilia mjini Geshuri, akakaa huko kwa muda wa miaka mitatu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Absalomu alikimbilia mjini Geshuri, akakaa huko kwa muda wa miaka mitatu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Baada ya Absalomu kukimbia na kwenda Geshuri, akakaa huko miaka mitatu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Baada ya Absalomu kukimbia na kwenda Geshuri, akakaa huko miaka mitatu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi Absalomu akakimbia, akaenda Geshuri, akakaa huko muda wa miaka mitatu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Samueli 13:38
6 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini Absalomu akakimbia. Na kijana yule aliyekuwa mlinzi akainua macho yake, akaona, na tazama, kuna watu wengi wanakuja kwa njia ya upande wa kilima nyuma yake.


Mwanamke akasema, Kwa nini basi wewe umewafikiria mambo kama hayo watu wa Mungu? Maana kwa kunena neno hili mfalme ni kama mwenye hatia, kwa kuwa hamrudishi kwao tena yule mfukuzwa wake.


Basi Yoabu akaondoka, akaenda Geshuri, akamleta Absalomu Yerusalemu.


Absalomu akamjibu Yoabu, Angalia, nilituma kwako, nikisema, Njoo kwangu, ili nikutume kwa mfalme kunena, Mbona nimekuja kutoka Geshuri? Ingekuwa heri kwangu kama ningekuwako huko hata sasa; basi sasa na nimtazame uso mfalme; na ukiwapo uovu kwangu, na aniue.


Maana mimi mtumishi wako niliweka nadhiri hapo nilipokuwa nikikaa Geshuri katika Shamu, nikasema, Kama BWANA akinirudisha Yerusalemu kweli, ndipo nitamtumikia BWANA.


na wa pili wake Danieli, wa Abigaili mkewe Nabali wa Karmeli; na wa tatu Absalomu, mwana wa Maaka binti Talmai, mfalme wa Geshuri,