Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Samueli 12:2 - Swahili Revised Union Version

Yule tajiri alikuwa na kondoo na ng'ombe wengi sana;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yule tajiri alikuwa na kondoo wengi na ng'ombe wengi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yule tajiri alikuwa na kondoo wengi na ng'ombe wengi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yule tajiri alikuwa na kondoo wengi na ng'ombe wengi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yule mtu tajiri alikuwa na idadi kubwa sana ya kondoo na ng’ombe,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yule mtu tajiri alikuwa na idadi kubwa sana ya kondoo na ng’ombe,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yule tajiri alikuwa na kondoo na ng'ombe wengi sana;

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Samueli 12:2
7 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo BWANA akamtuma Nathani aende kwa Daudi. Naye akamwendea, akamwambia, Palikuwa na watu wawili katika mji mmoja; mmoja wao alikuwa tajiri, wa pili maskini.


bali yule maskini hakuwa na kitu, ila mwana-kondoo mmoja, mdogo, ambaye amemnunua na kumlea; naye akakua pamoja naye, na pamoja na wanawe; hula sehemu ya posho lake, na kukinywea kikombe chake, na kulala kifuani mwake, akawa kwake kama binti.


nami nikakupa nyumba ya bwana wako, na wake za bwana wako kifuani mwako; nikakupa nyumba ya Israeli na ya Yuda; na kama hayo yangalikuwa machache, ningalikuongezea mambo mengine mengi.


Basi mfalme akatoka na watu wa nyumbani mwake wote wakafuatana naye. Mfalme akaacha wanawake kumi, masuria, ili kuitunza nyumba.


Mali yake nayo ilikuwa ni kondoo elfu saba, na ngamia elfu tatu, na jozi za ng'ombe mia tano, na punda wake mia tano, na watumishi wengi sana; basi hivi mtu huyo alikuwa ni mkuu sana kuliko watu wote wa upande wa mashariki.