Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Samueli 11:22 - Swahili Revised Union Version

Basi yule mjumbe akaenda, akafika na kumwonesha Daudi yote aliyomtuma Yoabu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yule mjumbe alikwenda kwa Daudi na kumwambia yote aliyotumwa na Yoabu ayaseme.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yule mjumbe alikwenda kwa Daudi na kumwambia yote aliyotumwa na Yoabu ayaseme.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yule mjumbe alikwenda kwa Daudi na kumwambia yote aliyotumwa na Yoabu ayaseme.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mjumbe akaondoka. Alipowasili akamwambia Daudi kila kitu alichokuwa ametumwa na Yoabu kusema.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mjumbe akaondoka. Alipowasili akamwambia Daudi kila kitu alichokuwa ametumwa na Yoabu kusema.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi yule mjumbe akaenda, akafika na kumwonesha Daudi yote aliyomtuma Yoabu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Samueli 11:22
2 Marejeleo ya Msalaba  

Ni nani aliyempiga Ahimeleki, mwana wa Yeru-beshethi? Je! Si mwanamke aliyemtupia jiwe la kusagia la juu kutoka ukutani? Hata akafa huko Thebesi? Kwa nini mliukaribia ukuta namna ile? Ndipo utakaposema, Mtumishi wako Uria, Mhiti, amekufa naye.


Yule mjumbe akamwambia Daudi, Watu hao walitushinda, wakatutokea nje hata uwandani, tukashindana nao hadi mahali pa kuingilia langoni.