Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Samueli 11:14 - Swahili Revised Union Version

Hata ikawa asubuhi, Daudi akamwandikia Yoabu barua, akaituma kwa mkono wa Uria.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Asubuhi yake, Daudi alimwandikia Yoabu barua akampa Uria aipeleke kwa Yoabu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Asubuhi yake, Daudi alimwandikia Yoabu barua akampa Uria aipeleke kwa Yoabu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Asubuhi yake, Daudi alimwandikia Yoabu barua akampa Uria aipeleke kwa Yoabu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kesho yake asubuhi, Daudi akamwandikia Yoabu barua, akamtuma Uria kuipeleka.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Asubuhi yake Daudi akamwandikia Yoabu barua, akamtuma Uria kuipeleka.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hata ikawa asubuhi, Daudi akamwandikia Yoabu barua, akaituma kwa mkono wa Uria.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Samueli 11:14
8 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa nini umelidharau neno la BWANA, na kufanya yaliyo mabaya machoni pake? Umempiga Uria, Mhiti, kwa upanga, nawe umemtwaa mkewe awe mke wako, nawe umemwua huyo kwa upanga wa Waamoni.


Umzuie mtumishi wako asitende mambo ya kiburi, Yasinitawale mimi. Ndipo nitakapokuwa kamili, Nami nitakuwa safi, sina kosa lililo kubwa.


Ulimi wako watunga madhara, Kama wembe mkali, Ewe mwenye hila.


Hakika binadamu ni ubatili, Na wenye cheo ni uongo, Katika mizani huinuka; Wote pamoja ni hafifu kuliko ubatili.


Moyo huwa mdanganyifu kuliko vitu vyote, una ugonjwa wa kufisha; nani awezaye kuujua?