Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Samueli 1:7 - Swahili Revised Union Version

Naye alipotazama nyuma, akaniona, akaniita. Nikajibu, Mimi hapa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Shauli alipotazama nyuma, aliniona, akaniita. Nilipoitika,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Shauli alipotazama nyuma, aliniona, akaniita. Nilipoitika,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Shauli alipotazama nyuma, aliniona, akaniita. Nilipoitika,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Alipogeuka na kuniona, akaniita, nami nikasema, ‘Je, nifanye nini?’

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Alipogeuka na kuniona, akaniita, nami nikasema, ‘Je, nifanye nini?’

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naye alipotazama nyuma, akaniona, akaniita. Nikajibu, Mimi hapa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Samueli 1:7
7 Marejeleo ya Msalaba  

Yule kijana aliyempa habari akasema, Nilikuwapo kwa nasibu juu ya kilima cha Gilboa, na tazama, Sauli alikuwa ameegemea fumo lake; na tazama, magari na wapanda farasi wanamfuatia kwa kasi.


Akaniambia, U nani wewe? Nikamjibu, Mimi ni Mwamaleki.


Basi Mefiboshethi, mwana wa Yonathani, mwana wa Sauli akaenda kwa Daudi, akaanguka kifudifudi, akasujudu. Daudi akasema, Mefiboshethi! Naye akaitika, Mimi hapa, mtumishi wako!


Kisha nikaisikia sauti ya Bwana, akisema, Nimtume nani, naye ni nani atakayekwenda kwa ajili yetu? Ndipo niliposema, Mimi hapa, nitume mimi.


Watu wasionitaka wanauliza habari zangu; nimeonekana na hao wasionitafuta; nililiambia taifa lisiloitwa kwa jina langu,


Ndipo akamwita kwa haraka huyo kijana aliyekuwa anamchukulia silaha zake, na kumwambia, Futa upanga wako, uniue, ili watu wasiseme juu yangu, Aliuawa na mwanamke. Basi huyo kijana wake akamchoma upanga, naye akafa.


Sauli akasema, Sikia sasa, Ewe mwana wa Ahitubu. Naye akaitika, Mimi hapa, bwana wangu.