Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Samueli 1:27 - Swahili Revised Union Version

Jinsi mashujaa walivyoanguka, Na silaha za vita zilivyoangamia!

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Jinsi gani mashujaa wameanguka, na silaha zao zimeachwa, hazina kazi.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Jinsi gani mashujaa wameanguka, na silaha zao zimeachwa, hazina kazi.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Jinsi gani mashujaa wameanguka, na silaha zao zimeachwa, hazina kazi.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Tazama jinsi mashujaa walivyoanguka! Silaha za vita zimeangamia!”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Tazama jinsi mashujaa walivyoanguka! Silaha za vita zimeangamia!”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Jinsi mashujaa walivyoanguka, Na silaha za vita zilivyoangamia!

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Samueli 1:27
7 Marejeleo ya Msalaba  

Walio fahari yako, Ee Israeli Juu ya mahali pako palipoinuka wameuawa; Jinsi mashujaa walivyoanguka!


Jinsi mashujaa walivyoanguka Katikati ya vita! Ee Yonathani, wewe umeuawa Juu ya mahali pako palipoinuka.


Basi Elisha alikuwa ameshikwa na ugonjwa wake uliomwua; naye Yehoashi mfalme wa Israeli akateremka amtazame, akamlilia mbele yake, akasema, Baba yangu! Baba yangu! Gari la Israeli na wapanda farasi wake!


Naye Elisha akaona, akalia, Baba yangu, baba yangu, gari la Israeli na wapanda farasi wake! Asimwone tena kabisa; akashika mavazi yake mwenyewe, akayararua vipande viwili.


Avikomesha vita hata mwisho wa dunia; Avunja uta, akata mkuki, achoma moto magari.


watu waliotoka katika nchi iliyo mbali, tokea upande wa mwisho wa mbingu; naam, BWANA na silaha za ghadhabu yake, ili aiangamize nchi yote.