Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Samueli 1:17 - Swahili Revised Union Version

Basi Daudi akamwomboleza Sauli, na Yonathani, mwanawe, maombolezo haya;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Daudi aliimba ombolezo lifuatalo kwa ajili ya Shauli na mwanawe Yonathani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Daudi aliimba ombolezo lifuatalo kwa ajili ya Shauli na mwanawe Yonathani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Daudi aliimba ombolezo lifuatalo kwa ajili ya Shauli na mwanawe Yonathani.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Daudi akafanya maombolezo haya kuhusu Sauli na Yonathani mwanawe,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Daudi akafanya maombolezo haya kuhusu Sauli na Yonathani mwanawe,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi Daudi akamwombolezea Sauli, na Yonathani, mwanawe, maombolezo haya;

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Samueli 1:17
7 Marejeleo ya Msalaba  

Nao waliokaa katika nchi, wale Wakanaani, walipoyaona matanga katika sakafu ya Atadi, wakasema, Matanga haya ya Wamisri ni makuu kwa hiyo mahali pale paliitwa Abel-Misri, iliyo ng'ambo ya Yordani.


Walio fahari yako, Ee Israeli Juu ya mahali pako palipoinuka wameuawa; Jinsi mashujaa walivyoanguka!


Ndipo mfalme akamwomboleza Abneri, akasema, Ilimpasaje Abneri kufa afavyo mpumbavu?


Naye Yeremia akamlilia Yosia; na waimbaji wote wanaume kwa wawanawake wakamtaja Yosia katika maombolezo yao, hadi leo; hata wakayafanya kuwa ada kwa Israeli; nayo, tazama, yameandikwa katika Maombolezo.


Nilisikitika kana kwamba ni rafiki au ndugu yangu, Niliinama nikilia kama aliyefiwa na mamaye.


Hayo ndiyo maombolezo watakayoimba; binti za mataifa watayaimba; kwa hayo wataomboleza kwa ajili ya Misri, na kwa ajili ya watu wake umati wote, asema Bwana MUNGU.