Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wakorintho 9:3 - Swahili Revised Union Version

Hilo ndilo jawabu langu kwa wale wanaoniuliza.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hoja yangu kwa wale wanaonipinga ndiyo hii:

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hoja yangu kwa wale wanaonipinga ndiyo hii:

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hoja yangu kwa wale wanaonipinga ndiyo hii:

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Huu ndio utetezi wangu kwa hao wanaokaa kunihukumu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Huu ndio utetezi wangu kwa hao wanaokaa kunihukumu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hilo ndilo jawabu langu kwa wale wanaoniuliza.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wakorintho 9:3
14 Marejeleo ya Msalaba  

Na watakapowapeleka ninyi mbele ya masinagogi na watawala na wenye mamlaka, msifadhaike kwa kuwaza maneno yenu jinsi mtakavyojibu au kusema;


Akasema, Enyi wanaume, ndugu zangu na baba zangu, nisikilizeni, nikijitetea mbele yenu sasa.


Nikawajibu kwamba si desturi ya Warumi kumtoa mtu awaye yote, kabla mtu yule aliyeshitakiwa hajaonana na washitaki wake uso kwa uso, na kupewa nafasi ya kujitetea katika mashitaka yake.


Mtu akijiona kuwa ni nabii au mtu wa rohoni, na ayatambue hayo ninayowaandikia, ya kwamba ni maagizo ya Bwana.


Kwa maana ikiwa mimi si mtume kwa wengine, lakini ni mtume kwenu ninyi; kwa maana ninyi ndinyi mhuri wa utume wangu katika Bwana.


Je! Hatuna uwezo wa kula na kunywa?


Kwa sababu hiyo, naandika haya nikiwa mbali nanyi, ili, nikija, nisiwe na ukali wa kadiri ya uwezo ule niliopewa na Bwana, kwa kujenga wala si kwa kubomoa.


kwa kuwa mnatafuta dalili ya Kristo, asemaye ndani yangu, ambaye si dhaifu kwenu, bali ana uweza ndani yenu.


Jichunguzeni wenyewe muone kama mmekuwa katika imani; jithibitisheni wenyewe. Au hamjijui wenyewe, kwamba Yesu Kristo yu ndani yenu? Isipokuwa iwe mmekataliwa.


bali wengine wanamhubiri Kristo kwa fitina, wala si kwa moyo mweupe, wakidhani kuongeza dhiki za kufungwa kwangu.


vile vile kama ilivyo wajibu wangu kufikiri haya juu yenu nyote; kwa sababu ninyi mmo moyoni mwangu; kwa kuwa katika kufungwa kwangu na katika kazi ya kutetea Injili na kuithibitisha, ninyi nyote mmeshirikiana nami neema hii.


Katika utetezi wangu wa kwanza hakuna mtu aliyesimama upande wangu, bali wote waliniacha; naomba wasihesabiwe hatia kwa jambo hilo.