Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wakorintho 7:8 - Swahili Revised Union Version

Lakini nawaambia wale wasiooa bado, na wajane, Ni heri wakae kama mimi nilivyo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, wale ambao hawajaoa na wale walio wajane nawaambia kwamba ni vema kuendelea kuwa kama mimi nilivyo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, wale ambao hawajaoa na wale walio wajane nawaambia kwamba ni vema kuendelea kuwa kama mimi nilivyo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, wale ambao hawajaoa na wale walio wajane nawaambia kwamba ni vema kuendelea kuwa kama mimi nilivyo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa wale wasiooa na kwa wajane, nasema hivi, ingekuwa vizuri wasioe.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa wale wasiooa na kwa wajane, nasema hivi, ingekuwa vizuri wasioe.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini nawaambia wale wasiooa bado, na wajane, Ni heri wakae kama mimi nilivyo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wakorintho 7:8
6 Marejeleo ya Msalaba  

Basi kuhusu mambo yale mliyoandika, ni heri mwanamume asimguse mwanamke.


Lakini nataka msiwe na masumbufu. Yeye asiyeoa hujishughulisha na mambo ya Bwana, ampendezeje Bwana;


Ila nipendalo ni kwamba watu wote wawe kama mimi nilivyo; lakini kila mtu ana karama yake mwenyewe itokayo kwa Mungu, huyu hivi, na huyu hivi.


Hatuna uwezo kuchukua pamoja nasi mke aliye ndugu, kama wao mitume wengine, na ndugu wa Bwana, na Kefa?