Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wakorintho 12:4 - Swahili Revised Union Version

Basi kuna karama tofauti; bali Roho ni yeye yule.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Vipaji vya kiroho ni vya namna nyingi, lakini Roho avitoaye ni mmoja.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Vipaji vya kiroho ni vya namna nyingi, lakini Roho avitoaye ni mmoja.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Vipaji vya kiroho ni vya namna nyingi, lakini Roho avitoaye ni mmoja.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kuna aina mbalimbali za karama, lakini Roho ni yule yule.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kuna aina mbalimbali za karama, lakini Roho ni yule yule.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi kuna karama tofauti; bali Roho ni yeye yule.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wakorintho 12:4
11 Marejeleo ya Msalaba  

nami nimemjaza Roho ya Mungu, katika hekima, na maarifa, na ujuzi, na mambo ya kazi ya kila aina,


Basi, ndugu zangu, kuhusu karama za roho, sitaki mkose kufahamu.


Na Mungu ameweka wengine katika kanisa, wa kwanza mitume, wa pili manabii, wa tatu waalimu, kisha miujiza, kisha karama za kuponya wagonjwa, aina za usaidizi, maongozi na aina za lugha.


Tena kuna huduma tofauti, na Bwana ni yeye yule.


Ila nipendalo ni kwamba watu wote wawe kama mimi nilivyo; lakini kila mtu ana karama yake mwenyewe itokayo kwa Mungu, huyu hivi, na huyu hivi.


Naye alitoa wengine kuwa mitume, na wengine kuwa manabii; na wengine kuwa wainjilisti na wengine kuwa wachungaji na waalimu;


Mungu naye akishuhudia pamoja nao kwa ishara na ajabu na nguvu za namna nyingi, na kwa karama za Roho Mtakatifu, kama alivyopenda mwenyewe.


kila mmoja kwa kadiri alivyoipokea karama, itumieni kwa kuhudumiana; kama mawakili wema wa neema mbalimbali za Mungu.