Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wakorintho 12:1 - Swahili Revised Union Version

Basi, ndugu zangu, kuhusu karama za roho, sitaki mkose kufahamu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ndugu, kuhusu vipaji vya kiroho, napenda mfahamu vizuri mambo haya:

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ndugu, kuhusu vipaji vya kiroho, napenda mfahamu vizuri mambo haya:

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ndugu, kuhusu vipaji vya kiroho, napenda mfahamu vizuri mambo haya:

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Basi ndugu zangu, kuhusu karama za rohoni, sitaki mkose kufahamu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Basi ndugu zangu, kuhusu karama za rohoni, sitaki mkose kufahamu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi, ndugu zangu, kuhusu karama za roho, sitaki mkose kufahamu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wakorintho 12:1
9 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini, ndugu zangu, sipendi msiwe na habari, ya kuwa mara nyingi nilikusudia kuja kwenu, nikazuiliwa mpaka sasa, ili nipate kuwa na matunda kwenu ninyi pia kama nilivyo nayo katika Mataifa wengine.


Kwa maana, ndugu zangu, sipendi mkose kufahamu ya kuwa baba zetu walikuwa wote chini ya wingu; wote wakapita kati ya bahari;


Mtu akijiona kuwa ni nabii au mtu wa rohoni, na ayatambue hayo ninayowaandikia, ya kwamba ni maagizo ya Bwana.


Maana ndugu, hatupendi, msijue habari ya dhiki ile iliyotupata katika Asia, ya kwamba tulilemewa mno kuliko nguvu zetu, hata tukakata tamaa ya kuishi.


Naye alitoa wengine kuwa mitume, na wengine kuwa manabii; na wengine kuwa wainjilisti na wengine kuwa wachungaji na waalimu;


Lakini, ndugu, hatutaki msijue habari zao waliolala mauti, msije mkahuzunika kama na wengine wasio na matumaini.


Lakini, wapenzi, msilisahau neno hili, kwamba kwa Bwana siku moja ni kama miaka elfu, na miaka elfu ni kama siku moja.