Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wafalme 7:5 - Swahili Revised Union Version

Na milango yote na miimo ilikuwa ya mraba, ilivyoangaziwa; na mwangaza kuelekea mwangaza katika madaraja matatu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Milango yote ilikuwa ya mraba, na miimo ya madirisha hayo yaliyoelekeana ilikuwa pia ya mraba.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Milango yote ilikuwa ya mraba, na miimo ya madirisha hayo yaliyoelekeana ilikuwa pia ya mraba.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Milango yote ilikuwa ya mraba, na miimo ya madirisha hayo yaliyoelekeana ilikuwa pia ya mraba.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Milango yenye miimo ya mstatili ilikuwa upande wa mbele katika safu tatu, ikielekeana.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Milango yote ilikuwa na miimo ya mstatili, ilikuwa upande wa mbele katika safu tatu, ikielekeana.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na milango yote na miimo ilikuwa ya mraba, ilivyoangaziwa; na mwangaza kuelekea mwangaza katika madaraja matatu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wafalme 7:5
3 Marejeleo ya Msalaba  

Na madirisha yalikuwako safu tatu, mwangaza kuelekea mwangaza katika madaraja matatu.


Akaifanya baraza ya nguzo; mikono hamsini urefu wake, na mikono thelathini upana wake; na ukumbi mbele yake; na nguzo na mihimili minene mbele yake.


Nao watatwaa baadhi ya damu yake na kuitia katika miimo miwili na katika kizingiti cha juu, katika zile nyumba watakazomla.