Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wafalme 16:6 - Swahili Revised Union Version

Baasha akalala na babaze, akazikwa katika Tirza; naye Ela mwanawe akatawala mahali pake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hatimaye, Baasha alifariki, akazikwa huko Tirza; mwanawe Ela akatawala mahali pake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hatimaye, Baasha alifariki, akazikwa huko Tirza; mwanawe Ela akatawala mahali pake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hatimaye, Baasha alifariki, akazikwa huko Tirza; mwanawe Ela akatawala mahali pake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Baasha akalala na baba zake naye akazikwa huko Tirsa. Naye Ela mwanawe akawa mfalme baada yake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Baasha akalala na baba zake naye akazikwa huko Tirsa. Naye Ela mwanawe akawa mfalme baada yake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Baasha akalala na babaze, akazikwa katika Tirza; naye Ela mwanawe akatawala mahali pake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wafalme 16:6
8 Marejeleo ya Msalaba  

Basi mkewe Yeroboamu akaondoka, akaenda zake, akafika Tirza; naye alipofika kizingitini kwa nyumba, huyo kijana akafa.


Na siku alizotawala Yeroboamu zilikuwa miaka ishirini na miwili; akalala na babaze, naye Nadabu mwanawe akatawala mahali pake.


Kulikuwa na vita kati ya Asa na Baasha mfalme wa Israeli siku zao zote.


Ikawa Baasha aliposikia habari hiyo akaacha kuujenga Rama, akaenda akakaa Tirza.


Nadabu mwana wa Yeroboamu alianza kutawala juu ya Israeli, mwaka wa pili wa Asa mfalme wa Yuda, akatawala juu ya Israeli miaka miwili.


Omri akalala na babaze, akazikwa huko Samaria; na Ahabu mwanawe akatawala mahali pake.


Katika mwaka wa ishirini na sita wa Asa mfalme wa Yuda, Ela mwana wa Baasha alianza kutawala juu ya Israeli huko Tirza, akatawala miaka miwili.