Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Wafalme 14:1 - Swahili Revised Union Version

Siku zile akaugua Abiya, mwana wa Yeroboamu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wakati huo, Abiya mwana wa mfalme Yeroboamu, akawa mgonjwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wakati huo, Abiya mwana wa mfalme Yeroboamu, akawa mgonjwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wakati huo, Abiya mwana wa mfalme Yeroboamu, akawa mgonjwa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wakati ule, Abiya mwana wa Yeroboamu akaugua,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakati ule Abiya mwana wa Yeroboamu akaugua,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Siku zile akaugua Abiya, mwana wa Yeroboamu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Wafalme 14:1
8 Marejeleo ya Msalaba  

Naye Nathani akaondoka kwenda nyumbani kwake. Basi BWANA akampiga yule mtoto ambaye mkewe Uria alimzalia Daudi naye akawa mgonjwa sana.


Yeroboamu akamwambia mkewe, Ondoka, tafadhali, ujibadilishe, wasikujue kuwa mkewe Yeroboamu; ukaende Shilo; tazama, yuko huko Ahiya nabii, aliyeninena mimi ya kwamba nitakuwa mfalme juu ya watu hawa.


Usivisujudie wala kuvitumikia; kwa kuwa mimi, BWANA, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu; nawapatiliza wana maovu ya baba zao, hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao,


ndipo Sedekia, mfalme, akatuma watu wamlete; naye mfalme akamwuliza kwa siri ndani ya nyumba yake, akasema, Je! Liko neno lililotoka kwa BWANA? Yeremia akasema, Liko. Akasema pia, Utatiwa katika mikono ya mfalme wa Babeli.


Wafilisti wakamfuatia sana Sauli na wanawe, Wafilisti wakawaua Yonathani, na Abinadabu, na Malkishua, wana wa Sauli.