Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Timotheo 5:2 - Swahili Revised Union Version

wanawake wazee kama mama; wanawake vijana kama ndugu wa kike; katika usafi wote.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

wanawake wazee kama mama zako, na vijana wa kike kama dada zako, kwa usafi wote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

wanawake wazee kama mama zako, na vijana wa kike kama dada zako, kwa usafi wote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

wanawake wazee kama mama zako, na vijana wa kike kama dada zako, kwa usafi wote.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

nao wanawake wazee uwatendee kama mama zako, na wanawake vijana kama dada zako, katika usafi wote.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

nao wanawake wazee uwatendee kama mama zako, na wanawake vijana kama dada zako, katika usafi wote.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

wanawake wazee kama mama; wanawake vijana kama ndugu wa kike; katika usafi wote.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Timotheo 5:2
8 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana yeyote atakayeyafanya mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni, huyu ndiye kaka yangu, na dada yangu na mama yangu.


Hatimaye, ndugu zangu, mambo yoyote yaliyo ya kweli, yoyote yaliyo ya heshima, yoyote yaliyo ya haki, yoyote yaliyo safi, yoyote yenye kupendeza, yoyote yenye sifa njema; ukiwapo wema wowote, ikiwapo sifa nzuri yoyote, yatafakarini hayo.


jitengeni na ubaya wa kila namna.


Mtu awaye yote asiudharau ujana wako, bali uwe kielelezo kwao waaminio, katika usemi na mwenendo, na katika upendo na imani na usafi.


Mzee usimkemee, bali umwonye kama baba; na wanaume vijana kama ndugu;


Uwaheshimu wajane walio wajane kweli kweli.


Lakini zikimbie tamaa za ujanani; ukafuate haki, na imani, na upendo, na amani, pamoja na wale wamwitao Bwana kwa moyo safi.