Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Samueli 31:11 - Swahili Revised Union Version

Na wenyeji wa Yabesh-gileadi waliposikia habari zake, jinsi hao Wafilisti walivyomtenda Sauli,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini wakazi wa mji wa Yabesh-gileadi waliposikia Wafilisti walivyomtendea Shauli,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini wakazi wa mji wa Yabesh-gileadi waliposikia Wafilisti walivyomtendea Shauli,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini wakazi wa mji wa Yabesh-gileadi waliposikia Wafilisti walivyomtendea Shauli,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Watu wa Yabesh-Gileadi waliposikia yale Wafilisti waliyomfanyia Sauli,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Watu wa Yabeshi-Gileadi waliposikia yale Wafilisti walichomfanyia Sauli,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na wenyeji wa Yabesh-gileadi waliposikia habari zake, jinsi hao Wafilisti walivyomtenda Sauli,

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Samueli 31:11
5 Marejeleo ya Msalaba  

Basi watu wa Yuda wakaenda, wakamtia Daudi mafuta huko, awe mfalme juu ya nyumba ya Yuda. Wakamwambia Daudi wakasema, Watu wa Yabesh-gileadi ndio waliomzika Sauli.


Akaenda Daudi, akaitwaa mifupa ya Sauli na mifupa ya Yonathani mwanawe mikononi mwa watu wa Yabesh-gileadi; waliyoiiba katika njia ya Beth-sheani, hapo Wafilisti walipowatungika, katika siku hiyo waliyomwua Sauli huko Gilboa;


Na watu wote wa Yabesh-gileadi waliposikia hayo yote Wafilisti waliyomtenda Sauli,


Basi wakasema, Ni ipi katika makabila ya Israeli ambayo haikufika mbele ya Bwana huko Mispa.