Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Samueli 27:7 - Swahili Revised Union Version

Na hesabu ya siku alizokaa Daudi katika nchi ya Wafilisti ilikuwa mwaka mzima na miezi minne.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Daudi aliishi katika nchi ya Wafilisti kwa muda wa mwaka mmoja na miezi minne.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Daudi aliishi katika nchi ya Wafilisti kwa muda wa mwaka mmoja na miezi minne.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Daudi aliishi katika nchi ya Wafilisti kwa muda wa mwaka mmoja na miezi minne.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Daudi akaishi katika nchi ya Wafilisti muda wa mwaka mmoja na miezi minne.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Daudi akaishi katika nchi ya Wafilisti muda wa mwaka mmoja na miezi minne.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na hesabu ya siku alizokaa Daudi katika nchi ya Wafilisti ilikuwa mwaka mzima na miezi minne.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Samueli 27:7
2 Marejeleo ya Msalaba  

Naye Daudi na watu wake walikuwa wakikwea na kuwashambulia Wageshuri, na Wagirizi, na Waamaleki waliokuwa wenyeji wa nchi hiyo, tangu Telemu, hapo uendapo Shuri, mpaka nchi ya Misri.


Ndipo wakuu wa Wafilisti wakasema, Waebrania hawa wanafanya nini hapa? Naye Akishi akawaambia wakuu wa Wafilisti, Je! Siye huyu Daudi, yule mtumishi wa Sauli, mfalme wa Israeli, ambaye amefuatana na mimi siku hizi, naam, miaka hii, wala mimi nisione hatia kwake, tangu hapo aliponiangukia mimi hata leo?