Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Samueli 27:4 - Swahili Revised Union Version

Naye Sauli akaambiwa ya kwamba Daudi amekimbia mpaka Gathi; wala hakumtafuta tena.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Shauli aliposikia kwamba Daudi amekimbilia Gathi, hakumfuata tena.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Shauli aliposikia kwamba Daudi amekimbilia Gathi, hakumfuata tena.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Shauli aliposikia kwamba Daudi amekimbilia Gathi, hakumfuata tena.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Sauli alipokuwa ameambiwa kwamba Daudi alikuwa amekimbilia Gathi, hakuendelea kumsaka tena.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Sauli alipokuwa ameambiwa kwamba Daudi alikuwa amekimbilia Gathi, hakuendelea kumsaka tena.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naye Sauli akaambiwa ya kwamba Daudi amekimbia mpaka Gathi; wala hakumtafuta tena.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Samueli 27:4
4 Marejeleo ya Msalaba  

Watumishi wake wote wakapita karibu naye; na Wakerethi wote, na Wapelethi wote, na Wagiti wote, watu mia sita walioandamana naye kutoka Gathi, wakapita mbele ya mfalme.


Ndipo Sauli akasema, Nimekosa; rudi, Daudi, mwanangu; maana sitakudhuru tena, kwa kuwa maisha yangu yalikuwa na thamani machoni pako leo; angalia, nimetenda upumbavu, nimekosa sana.


Daudi akakaa huko Gathi pamoja na Akishi, yeye na watu wake, kila mtu na watu wa nyumbani mwake; Daudi naye alikuwa na wakeze wawili, Ahinoamu wa Yezreeli, na Abigaili wa Karmeli, aliyekuwa mkewe Nabali.


Daudi akamwambia Akishi, Sasa kama nimeona kibali machoni pako na nipewe mahali katika miji hii mmojawapo mashambani, nipate kukaa huko; mbona mtumishi wako akae katika mji wa kifalme pamoja na wewe?