Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Samueli 22:21 - Swahili Revised Union Version

Naye Abiathari akamweleza Daudi ya kwamba Sauli amewaua makuhani wa BWANA.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Abiathari alimweleza Daudi kuwa Shauli amewaua makuhani wa Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Abiathari alimweleza Daudi kuwa Shauli amewaua makuhani wa Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Abiathari alimweleza Daudi kuwa Shauli amewaua makuhani wa Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Abiathari akamwambia Daudi kuwa Sauli amewaua makuhani wa Mwenyezi Mungu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Akamwambia Daudi kuwa Sauli amewaua makuhani wa bwana.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naye Abiathari akamweleza Daudi ya kwamba Sauli amewaua makuhani wa BWANA.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Samueli 22:21
3 Marejeleo ya Msalaba  

Tena mtu wako, ambaye sitamtenga na madhabahu yangu, atakuwa mtu wa kukupofusha macho, na kukuhuzunisha moyo; tena wazao wote wa nyumba yako watakufa watakapokuwa watu wazima.


Na katika wana wa Ahimeleki, mwana wa Ahitubu, akaokoka mtu mmoja tu, aliyeitwa Abiathari, akamkimbilia Daudi.


Daudi akamwambia Abiathari, Siku ile alipokuwako Doegi, Mwedomi, nilijua hakika ya kuwa atamwambia Sauli; mimi nimewapatia watu wote wa jamaa ya baba yako kifo.