Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Samueli 20:4 - Swahili Revised Union Version

Ndipo Yonathani akamwambia Daudi, Kadiri roho yako itakavyo, nitakutendea.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yonathani akamwambia, “Lolote utakalosema nitakutendea.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yonathani akamwambia, “Lolote utakalosema nitakutendea.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yonathani akamwambia, “Lolote utakalosema nitakutendea.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yonathani akamwambia Daudi, “Chochote unachotaka nifanye, nitakufanyia.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yonathani akamwambia Daudi, “Chochote unachotaka nifanye, nitakufanyia.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ndipo Yonathani akamwambia Daudi, Kadiri roho yako itakavyo, nitakutendea.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Samueli 20:4
2 Marejeleo ya Msalaba  

Daudi akaapa, akasema, Baba yako anajua sana ya kuwa nimeona kibali machoni pako, naye asema, Yonathani asilijue neno hili, asije akahuzunika; lakini ni kweli, aishivyo BWANA, na iishivyo roho yako, iko hatua moja tu kati ya mimi na mauti.


Naye Daudi akamwambia Yonathani, Tazama, kesho ni mwandamo wa mwezi, nami hainipasi kukosa kuketi chakulani pamoja na mfalme; lakini niache nijifiche bondeni hadi siku ya tatu jioni.