Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Samueli 20:11 - Swahili Revised Union Version

Yonathani akamwambia Daudi, Twende zetu nje mashambani. Wakatoka wote wawili, wakaenda mashambani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yonathani akamjibu, “Njoo twende shambani!” Basi, wakaenda.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yonathani akamjibu, “Njoo twende shambani!” Basi, wakaenda.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yonathani akamjibu, “Njoo twende shambani!” Basi, wakaenda.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yonathani akamwambia, “Njoo, twende shambani.” Basi wakaenda huko pamoja.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yonathani akamwambia, “Njoo, twende shambani.” Basi wakaenda huko pamoja.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yonathani akamwambia Daudi, Twende zetu nje mashambani. Wakatoka wote wawili, wakaenda mashambani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Samueli 20:11
2 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Daudi akamwambia Yonathani, Ni nani atakayeniambia, ikiwa baba yako amekujibu maneno makali?


Naye Yonathani akamwambia Daudi, BWANA, Mungu wa Israeli, na awe shahidi; nitakapokuwa nimekwisha kumwuliza baba yangu, kama wakati huu kesho, au siku ya tatu, angalia, kama liko neno jema la kumfaa Daudi, je! Nisikupelekee habari na kukufunulia neno hili?