Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Samueli 17:6 - Swahili Revised Union Version

Tena amevaa mabamba ya shaba miguuni mwake, naye alikuwa na mkuki wa shaba kati ya mabega yake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Miguu yake pia ilikuwa na kinga ya shaba na mabegani pake alibeba mkuki wa shaba.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Miguu yake pia ilikuwa na kinga ya shaba na mabegani pake alibeba mkuki wa shaba.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Miguu yake pia ilikuwa na kinga ya shaba na mabegani pake alibeba mkuki wa shaba.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Miguuni mwake alivaa mabamba ya shaba, na alikuwa na mkuki wa shaba mgongoni mwake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Miguuni mwake alivaa mabamba ya shaba, na alikuwa na mkuki wa shaba mgongoni mwake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Tena amevaa mabamba ya shaba miguuni mwake, naye alikuwa na mkuki wa shaba kati ya mabega yake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Samueli 17:6
4 Marejeleo ya Msalaba  

Mfalme Sulemani akafanya ngao mia mbili za dhahabu iliyofuliwa; kila ngao moja ilipata shekeli mia sita za dhahabu.


Mfalme Sulemani akafanya ngao mia mbili za dhahabu iliyofuliwa; ngao moja hupata shekeli mia sita za dhahabu iliyofuliwa.


Ndipo Daudi akamwambia yule Mfilisti, Wewe unanijia mimi na upanga, na fumo, na mkuki, bali mimi ninakujia wewe kwa jina la BWANA wa majeshi, Mungu wa majeshi ya Israeli uliowatukana.


Alikuwa na chapeo ya shaba kichwani, tena amevaa darii ya shaba; na uzani wake ile darii ya shaba ulikuwa shekeli elfu tano za shaba.