Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Samueli 17:21 - Swahili Revised Union Version

Nao Waisraeli na Wafilisti wakajipanga, jeshi hili likikabili jeshi hili.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Majeshi ya Waisraeli na ya Wafilisti walijipanga tayari kupigana vita, majeshi yakiwa yanakabiliana ana kwa ana.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Majeshi ya Waisraeli na ya Wafilisti walijipanga tayari kupigana vita, majeshi yakiwa yanakabiliana ana kwa ana.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Majeshi ya Waisraeli na ya Wafilisti walijipanga tayari kupigana vita, majeshi yakiwa yanakabiliana ana kwa ana.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Israeli na Wafilisti walikuwa wakipanga safu zao wakitazamana.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Israeli na Wafilisti walikuwa wakipanga safu zao wakitazamana.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nao Waisraeli na Wafilisti wakajipanga, jeshi hili likikabili jeshi hili.

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Samueli 17:21
4 Marejeleo ya Msalaba  

Na jina la mtu huyo aliitwa Elimeleki, na jina la mkewe Naomi, na majina ya wanawe wawili Maloni na Kilioni, Waefrata wa Bethlehemu ya Yuda. Wakafika nchi ya Moabu, wakakaa huko.


Daudi akaondoka asubuhi na mapema, akawaacha kondoo pamoja na mchungaji, akavitwaa vitu vile, akaenda, kama Yese alivyomwamuru; akafika penye magari, wakati lile jeshi walipokuwa wakitoka kwenda kupigana, wakipiga kelele za vita.


Basi Daudi akaviacha vile vyombo vyake katika mkono wa mlinda vyombo, akalikimbilia jeshi, akafika, akawasalimu ndugu zake.


Nao Wafilisti wakajipanga juu ya Israeli; na walipopigana, Waisraeli wakapigwa na Wafilisti; waliowaua karibu elfu nne katika uwanja wa vita.