Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




1 Samueli 10:15 - Swahili Revised Union Version

Babaye mdogo Sauli akasema, Tafadhali niambie, huyo Samweli aliwaambiaje?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yule baba mdogo wa Shauli akamwambia, “Tafadhali, niambie kile alichokuambia Samueli.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yule baba mdogo wa Shauli akamwambia, “Tafadhali, niambie kile alichokuambia Samueli.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yule baba mdogo wa Shauli akamwambia, “Tafadhali, niambie kile alichokuambia Samueli.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Babaye mdogo Sauli akasema, “Niambie Samweli amekuambia nini.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Babaye mdogo Sauli akasema, “Niambie Samweli amekuambia nini.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Babaye mdogo Sauli akasema, Tafadhali niambie, huyo Samweli aliwaambiaje?

Tazama sura
Tafsiri zingine



1 Samueli 10:15
3 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo wakuu wakamwendea Yeremia, wakamwuliza; naye akawaambia sawasawa na maneno aliyoamriwa na mfalme. Basi wakaacha kunena naye; maana neno lile halikujulikana.


Basi babaye mdogo akamwuliza Sauli na mtumishi wake, Je! Mlikwenda wapi? Naye akajibu, Tulikwenda ili kuwatafuta hao punda; na tulipoona ya kwamba hawakuonekana, tulimwendea Samweli.


Lakini Sauli akamjibu babaye mdogo, Alituambia waziwazi ya kuwa hao punda wamekwisha onekana. Lakini habari ya ufalme, ambayo Samweli alimwambia, hakuitaja.