Yoshua 2:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
7 Basi, wale watu waliotumwa na mufalme wakawafuatilia kwa kupitia njia iliyokuwa imeelekea kwenye vivuko vya Yordani. Na mara tu walipoondoka katika muji, mulango wa muji ukafungwa.
Kisha watu wakavishika vivuko vya muto Yordani kwa kuiziba njia ya watu wa Efuraimu. Kila mara mukimbizi alipotokea akiomba kupita kule, watu wa Gileadi walimwuliza: “Wewe ni Mwefuraimu?” Na kama akijibu “Hapana”,
Akawaambia: “Munifuate, maana Yawe amewatia waadui zenu Wamoabu katika mikono yenu.” Wakamufuata mpaka kwenye kivuko cha Yordani na kukiteka toka katika mikono ya Wamoabu, wakazuia mutu yeyote kupita.