Biblia Todo Logo
線上聖經

- 廣告 -




Waebrania 8:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 Kama lile agano la kwanza lingekuwa kamilifu, haingekuwa lazima likombolewe na la pili.

參見章節 複製




Waebrania 8:7
5 交叉參考  

Basi, ni kusema kwamba Sheria haipatani na ahadi za Mungu? Hapana, hata kidogo! Kama kungetolewa Sheria yenye uwezo wa kuleta uzima kwa watu, basi mutu angehesabiwa haki mbele ya Mungu kwa njia ya Sheria.


lakini vilevile kwa ajili ya wale ambao hawapo pamoja nasi leo.


Ukuhani ndio ulikuwa musingi wa Sheria iliyotolewa kwa Waisraeli. Basi ikiwa ukamilifu ulipatikana kwa njia ya kazi ya ukuhani wa uzao wa Lawi, hakungekuwa tena lazima kutokee kuhani mwingine anayekuwa sawa na Melkisedeki, kwa pahali pa kuhani anayekuwa sawa na Haruni.


Kwa hiyo, ile amri ya zamani imevunjwa, kwa sababu ilikuwa zaifu nayo haikufaa kitu,


Lakini sasa Yesu amepewa kazi inayokuwa bora zaidi kuliko kazi ya wale makuhani, kwa maana yeye ni mupatanishi wa agano linalokuwa zuri zaidi. Sherti za agano lile zinasimamia juu ya ahadi ya Mungu inayokuwa bora zaidi.


跟著我們:

廣告


廣告