Kati ya wazao wa watumishi wa Solomono, waliorudi kutoka katika uhamisho, kulikuwa wazao wa watu hawa: Sotayi, Hasofereti, Peruda, Yala, Darkoni, Gideli, Sefatia, Hatili, Pokereti-Hazebaimu, Ami.
Na katika miji mingine, watu wa Israeli, makuhani, Walawi, walinzi wa milango na wazao wa watumishi wa Solomono, walikaa katika maeneo yao wenyewe, katika miji yao.