Nehemia 3:34 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200234 mbele ya warafiki zake na waaskari wa Wasamaria, akisema: “Hawa Wayuda wasiokuwa na nguvu wanafanya nini? Kusudi lao ni kuujenga upya muji? Watatoa sadaka? Wanaweza kumaliza kazi kwa siku moja tu? Wataweza kufanya mawe yaliyolundikana kwenye takataka na yaliyochomwa yakuwe ya kujenga?” 參見章節 |