Biblia Todo Logo
線上聖經

- 廣告 -




Nehemia 12:47 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

47 Watu wote wa Israeli, tangu wakati wa Zerubabeli na Nehemia, walitoa matoleo ya kila siku kwa ajili ya waimbaji na walinzi wa milango. Zaidi ya yote, watu wa Israeli wakatoa matoleo kwa ajili ya Walawi, nao Walawi wakatenga sehemu kwa ajili ya wazao wa Haruni.

參見章節 複製




Nehemia 12:47
14 交叉參考  

Alipatiwa na mufalme posho yake siku kwa siku, kwa muda wa maisha yake yote kufuatana na mahitaji yake.


Hivyo, wakaondoka katika kambi ya Waaramu na kuwaita walinda milango ya muji na kuwaambia: “Tulikwenda katika kambi ya Waaramu na hatukuweza kumwona wala kumusikia mutu yeyote. Farasi na punda wangali wanafungwa, na mahema yako kama walivyoyaacha.”


Viongozi wao walikuwa Zerubabeli, Yesua, Nehemia, Seraya, Relaya, Mordekayi, Bilsani, Misipari, Bigwayi, Rehumu na Bana. Hii ndiyo hesabu ya watu wote wa ukoo za Waisraeli waliorudi kutoka katika uhamisho:


Mufalme alikuwa ametoa amri juu ya utaratibu wa kazi zao na mahitaji yao ya kila siku.


Haya ndiyo majina ya makuhani na Walawi waliorudi toka katika uhamisho pamoja na Zerubabeli mwana wa Saltieli, na Kuhani Mukubwa Yesua. Makuhani walikuwa: Seraya, Yeremia, Ezra, Amaria, Maluku, Hatusi, Sekania, Rehumu, Meremoti, Ido, Ginetoni, Abiya, Miyamini, Madia, Bilga, Semaya, Yoyaribu, Yedaya, Salu, Amoki, Hilkia na Yedaya. Hao walikuwa ni wakubwa wa makuhani na wandugu zao wakati wa Yesua.


Yoyakimu alipokuwa Kuhani Mukubwa, makuhani hawa walikuwa wakubwa wa ukoo zao: ukoo wa Seraya: Meraya; ukoo wa Yeremia: Hanania; ukoo wa Ezra: Mehulamu; ukoo wa Amaria: Yehohanani; ukoo wa Maluku: Yonatani; ukoo wa Sebania: Yosefu; ukoo wa Harimu: Adina; ukoo wa Meraioti: Helkayi; ukoo wa Ido: Zakaria; ukoo wa Ginetoni: Mesulamu; ukoo wa Abiya: Zikiri; ukoo wa Miniamini: ukoo wa Moadia: Piltai; ukoo wa Bilga: Samua; ukoo wa Semaya: Yehonatani; ukoo wa Yoaribu: Matenayi; ukoo wa Yedaya: Uzi; ukoo wa Salayi: Kalayi; ukoo wa Amoki: Eberi; ukoo wa Hilkia: Hesabia; ukoo wa Yedaya: Netaneli.


Watu hao waliishi wakati wa Yoyakimu mwana wa Yesua mujukuu wa Yosadaki na vilevile wakati wa Nehemia aliyekuwa liwali wa jimbo; na hata wakati wa Ezra kuhani na mwandishi.


Mwenye kufundishwa Habari Njema anapaswa kushirikiana mapato yake na yule anayemufundisha.


Watapata mafungu yao sawa ya kula, ingawa wako na mapato kutokana na kuuzisha mali za jamaa zao.


跟著我們:

廣告


廣告