22 Wakati wa Eliasibu, Yoyada, Yohanani na Yadua wakubwa wa jamaa za Walawi waliandikwa; vilevile wakati wa utawala wa mufalme Dario wakubwa wa jamaa za makuhani waliandikwa.
Wakubwa wa jamaa za ukoo wa Lawi walioandikwa katika kitabu cha Mambo ya Siku mpaka wakati wa Yohanani mujukuu wa Eliasibu.