Nao Yehieli, Azazia, Nahati, Asaeli, Yeremoti, Yozabadi, Elieli. Isimakia, Mahati na Benaya, wakawekwa kuwa wasimamizi chini ya uongozi wa Konania na ndugu yake Simei. Hawa wote walichaguliwa na mufalme Hezekia, na Azaria, kuhani mukubwa wa nyumba ya Mungu.