tunaungana na wandugu zetu, wakubwa wetu, katika kufanya kiapo na kwamba tukivunja kiapo hiki tutapata azabu, na tunaapa kwamba tutaishi kwa kufuata sheria ya Mungu ambayo alitoa kwa njia ya Musa, mutumishi wake; tena tutatii yote ambayo Yawe, Mungu wetu, anatuamuru; na kwamba tutashika maagizo na masharti yake.