Muhubiri 2:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
12 Basi, nikaanza kufikiri maana ya kuwa na hekima, kuwa mwenda-wazimu, na kuwa mupumbafu. Nikajiuliza: “Mufalme mupya anaweza kufanya kitu gani? Atafanya tu kile kilichofanywa mbele yake.”
Hata hivyo, nilikusudia kujua na kuchunguza na kutafuta hekima na maana ya mambo yanayokuwa, na vilevile kujua kwamba uovu ni upumbafu na kwamba upumbafu ni wazimu.