Biblia Todo Logo
線上聖經

- 廣告 -




Hesabu 8:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Umwambie Haruni kwamba wakati atakapoweka zile taa saba kwenye kinara, azipange kusudi ziangaze upande wa mbele wa kinara hicho.

參見章節 複製




Hesabu 8:2
19 交叉參考  

Utatengeneza vilevile taa saba kwa ajili ya kinara kile na kuziweka juu yake kusudi ziangaze kwa mbele.


Umeme ulipiga tokea katika kiti kile, na makelele na ngurumo ya radi vilisikilika. Mbele ya kiti kile kulikuwa kukiwaka mienge saba, na hizo ndizo zile roho saba za Mungu.


Hii ndiyo maana ya lile fumbo juu ya zile nyota saba ulizoona katika mukono wangu wa kuume, na vile vinara saba vya zahabu: zile nyota saba ni wamalaika wa makanisa saba na vile vinara saba ni yale makanisa saba.


Basi nikageuka kusudi nione yule aliyesema nami. Na wakati nilipogeuka nikaona vinara saba vya taa vilivyotengenezwa na zahabu.


Vilevile tunaamini ujumbe uliotangazwa na manabii. Ninyi munafanya vema mukishikamana nao. Ujumbe huo ni kama taa inayoangaza pahali pa giza, mpaka wakati wa mapambazuko na wakati nyota ya asubui itakapoangazia mioyo yenu.


Ule mwangaza wa kweli, unaomwangazia kila mutu, unakuja katika dunia.


“Ninyi ni kama mwangaza katika dunia. Muji unaojengwa juu ya mulima hauwezi kufichama.


Maelezo ya mafundisho yako yanaleta mwangaza; yanawapa akili wajinga.


Neno lako ni taa ya kuniongoza, na mwangaza katika njia yangu.


Ataweka hizo taa katika kinara cha taa cha zahabu safi ziwake siku zote mbele ya Yawe.


Mule, mbele ya Yawe, akawasha taa zake, kama vile alivyoamuriwa na Yawe.


Akatengeneza taa zake saba, koleo zake na visahani vyake kwa zahabu safi.


Hakika anayesema hivyo hajapata kuona mwangaza. Lakini ninyi mushike lile agizo na mafundisho ya Mungu.


Yawe akamwambia Musa:


Haruni akatii maagizo hayo, akaweka taa hizo kusudi ziangaze upande wa mbele wa kinara, kama vile Yawe alivyomwamuru Musa.


kinara cha taa cha zahabu safi, taa zake, vyombo vyake vyote pamoja na mafuta kwa ajili ya taa hizo;


跟著我們:

廣告


廣告